Je, Mudathir atatua msimbazi kabla ya dirisha la usajili kufungwa?



Kuna tetesi kuwa mchezaji machachari anayekipiga na Azam FC Mudathir Yahya yuko kwenye orodha ya wachezaji wanaotajwa Kujiunga na Simba sc kabla ya Dirisha la usajili kufungwa , Mazungumzo yanaendelea. Waswahili wanasema tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini.

Post a Comment

Previous Post Next Post